Swali: Je, imeshurutishwa walii wa mwanamke atakayemuozesha awe amehifadhi swalah pamoja na mkusanyiko msikitini?
Jibu: Ndio. Ikiwa anaswali lakini haswali pamoja na mkusanyiko msikitni, huyu ni muasi na usimamizi wake haumtoki. Ama ikiwa haswali kabisa hata baadhi ya swalah, anaacha swalah kwa kukusudia, huyu ni kafiri na hapaswi kuwa walii wa Muislamu. Ni lazima awe na walii mwingine katika waislamu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/12934
- Imechapishwa: 20/09/2020
Swali: Je, imeshurutishwa walii wa mwanamke atakayemuozesha awe amehifadhi swalah pamoja na mkusanyiko msikitini?
Jibu: Ndio. Ikiwa anaswali lakini haswali pamoja na mkusanyiko msikitni, huyu ni muasi na usimamizi wake haumtoki. Ama ikiwa haswali kabisa hata baadhi ya swalah, anaacha swalah kwa kukusudia, huyu ni kafiri na hapaswi kuwa walii wa Muislamu. Ni lazima awe na walii mwingine katika waislamu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/12934
Imechapishwa: 20/09/2020
https://firqatunnajia.com/al-fawzaan-kuhusu-uwalii-wa-mwanaume-asiyeswali/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)