Swali: Mwenye kupinga majina na sifa za Allaah anakuwa kafiri kwa hilo?
Jibu: Ikiwa atafanya kwa kukusudia na anajua dalili na akakhalifu hilo kwa matamanio au kwa kasumba kung´ang´ania madhehebu ni kafiri. Lakini ikiwa kafahamu vibaya au anafuata kichwa mchunga huyu hakufurishwi. Lakini ni mpotofu mpaka abainishiwe.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://alfawzan.ws/node/2819 Tarehe: 1431-05-13/2010-04-26
- Imechapishwa: 10/04/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)