Swali: Mwenye kupinga majina na sifa za Allaah anakuwa kafiri kwa hilo?
Jibu: Ikiwa atafanya kwa kukusudia na anajua dalili na akakhalifu hilo kwa matamanio au kwa kasumba kung´ang´ania madhehebu ni kafiri. Lakini ikiwa kafahamu vibaya au anafuata kichwa mchunga huyu hakufurishwi. Lakini ni mpotofu mpaka abainishiwe.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://alfawzan.ws/node/2819 Tarehe: 1431-05-13/2010-04-26
- Imechapishwa: 10/04/2022
Swali: Mwenye kupinga majina na sifa za Allaah anakuwa kafiri kwa hilo?
Jibu: Ikiwa atafanya kwa kukusudia na anajua dalili na akakhalifu hilo kwa matamanio au kwa kasumba kung´ang´ania madhehebu ni kafiri. Lakini ikiwa kafahamu vibaya au anafuata kichwa mchunga huyu hakufurishwi. Lakini ni mpotofu mpaka abainishiwe.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://alfawzan.ws/node/2819 Tarehe: 1431-05-13/2010-04-26
Imechapishwa: 10/04/2022
https://firqatunnajia.com/al-fawzaan-kuhusu-ukafiri-wa-mwenye-kupinga-majina-na-sifa-za-allaah/