Swali: Ethiopia ilikuwa nchi ya Kiislamu kwa kusilimu kwa Najaashiy?

Jibu: Nchi ya Kiislamu ni ile ambayo inahukumu kwa Shari´ah. Kinachozingatiwa ni hukumu. Nchi ya Kiislamu ni ile ambayo inahukumu kwa Uislamu. Najaashiy alisilimu lakini hakuweza kuhukumu kwa Shari´ah katika nchi ya kinaswara.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (41) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-01-27.mp3
  • Imechapishwa: 15/11/2014