Swali: Je, inajuzu kwa mtu kugawa mirathi yake kuwagawia watoto wake ilihali yuko hai?
Jibu: Inajuzu. Akitenzwa nguvu juu ya kugawa kwa mujibu wa Shari´ah, mwanaume akampa mara mbili ya mwanamke na kila mmoja akampa fungu lake la Kishari´ah, hakuna neno kufanya hivo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (67) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13854
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Je, inajuzu kwa mtu kugawa mirathi yake kuwagawia watoto wake ilihali yuko hai?
Jibu: Inajuzu. Akitenzwa nguvu juu ya kugawa kwa mujibu wa Shari´ah, mwanaume akampa mara mbili ya mwanamke na kila mmoja akampa fungu lake la Kishari´ah, hakuna neno kufanya hivo.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (67) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13854
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/al-fawzaan-kuhusu-mtu-kugawa-mirathi-wakati-wa-haja-ilihali-bado-yuhai/