Swali: Ni yapi maoni yako juu ya kitabu “as-Suufiyyah” cha Muhammad ´Abduh na kitabu “Haadhihiy as-Suufiyyah” cha ´Abdur-Rahmaan Wakiyl?
Jibu: Kuhusu kitabu “as-Suufiyyah” cha Muhammad ´Abduh mimi sijakiona. Sijui anakusudia Muhammad ´Abduh yupi; ni yule ambaye alikuwa Mufty wa Misri katika wakati wake au ni Muhammad ´Abduh mwingine. Allaah ndiye anajua zaidi. Mimi sijaona kitabu hichi.
Kuhusu kitabu cha ´Abdur-Rahmaan Wakiyl ni kitabu kizuri. Yeye ndiye amewaponda Suufiyyah, akawafedhehesha, akawafichukua na akabainisha aibu na upotevu wao. Ni kitabu kizuri.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Furqaan (13) http://alfawzan.af.org.sa/node/2056
- Imechapishwa: 02/04/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)