Swali: Mtu huyu anauliza kuhusu Kitaab “ar-Ruuh cha Ibn-ul-Qayyim na kama kuna makosa na anayeanza hafai kukisoma?
Jibu: Ndio. Kina faida kubwa na utafiti. Na pia kina mambo ambayo yanatakiwa kutazamwa. Mwanafunzi anayeanza asikisome. Ambaye anaweza kukisoma ni yule aliye thabiti na achukue ya faida humo na aache ambayo yanatakiwa kutazawa. Yasemekana ya kwamba ndio kitabu cha kwanza alichoandika Ibn-ul-Qayyim kabla ya kukutana na Shaykh wake [Ibn Taymiyyah]. Yasemwa hivi na Allaah anajua zaidi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=v3pZBObHxQo
- Imechapishwa: 05/06/2022
Swali: Mtu huyu anauliza kuhusu Kitaab “ar-Ruuh cha Ibn-ul-Qayyim na kama kuna makosa na anayeanza hafai kukisoma?
Jibu: Ndio. Kina faida kubwa na utafiti. Na pia kina mambo ambayo yanatakiwa kutazamwa. Mwanafunzi anayeanza asikisome. Ambaye anaweza kukisoma ni yule aliye thabiti na achukue ya faida humo na aache ambayo yanatakiwa kutazawa. Yasemekana ya kwamba ndio kitabu cha kwanza alichoandika Ibn-ul-Qayyim kabla ya kukutana na Shaykh wake [Ibn Taymiyyah]. Yasemwa hivi na Allaah anajua zaidi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=v3pZBObHxQo
Imechapishwa: 05/06/2022
https://firqatunnajia.com/al-fawzaan-kuhusu-kitabu-cha-ibn-ul-qayyim-ar-ruuh/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)