Swali: Jina ´Abdun-Nuur ni katika majina ya vinavyoabudiwa badala ya Allaah?
Jibu: Halikuthibiti hili. Katika majina Yake ni an-Nuur (Subhaanahu wa Ta´ala) na hili halina shaka. an-Nuur ni katika majina Yake na vilevile an-Nuur ni katika sifa Zake (Jalla wa ´Alaa). Lakini hakukuthibiti kwamba mtu anasibishe uabudiwa na an-Nuur. Kufanya hivi kuna kujifananisha na dini ya wafursi ambao wanaabudia nuru na giza.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (27) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-5-11.mp3
- Imechapishwa: 15/11/2014
Swali: Jina ´Abdun-Nuur ni katika majina ya vinavyoabudiwa badala ya Allaah?
Jibu: Halikuthibiti hili. Katika majina Yake ni an-Nuur (Subhaanahu wa Ta´ala) na hili halina shaka. an-Nuur ni katika majina Yake na vilevile an-Nuur ni katika sifa Zake (Jalla wa ´Alaa). Lakini hakukuthibiti kwamba mtu anasibishe uabudiwa na an-Nuur. Kufanya hivi kuna kujifananisha na dini ya wafursi ambao wanaabudia nuru na giza.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (27) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-5-11.mp3
Imechapishwa: 15/11/2014
https://firqatunnajia.com/al-fawzaan-kuhusu-jina-la-abdun-nuur/