Swali: Ni ipi hukumu ya chaneli ya al-Jaziyrah na inahalalisha Aliyoharamisha Allaah na kuharamisha Aliyohalalisha Allaah?
Jibu: Mi nimeshawaambieni tahadharisheni watu na chaneli hizi. Inahusiana na chaneli zote na sio al-Jaziyrah peke yake. Zimewasababishia Waislamu shari tupu. Watahadharisheni na chaneli zote. Mwenye kutaka barnamiji za kidini zinapatikana kwenye idhaa ya Qur-aan. Idhaa hii ina kheri nyingi, mawaidha, fataawa, taarifa ya khabari na mengine. Mwenye kutaka kheri inapatikana.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (13) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_13.mp3
- Imechapishwa: 15/06/2015
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket