Swali: Kununua misahafu na kuiweka kwenye msikiti wa Makkah kwa nia ya swadaqah yenye kuendelea ni kitendo kinachojuzu?
Jibu: Ni tendo jema hili. Misahafu ilikuwa inanunuliwa wakati wa Salaf. Walikuwa wakiiuza. Huwezi kupata msahafu isipokuwa kwa njia ya kuununua. Vipi utaweza kupata msahafu ikiwa sio kwa njia ya kuununua? Je, wewe una uwezo wa kujiandikia msahafu wako mwenyewe? Nunua msahafu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14763
- Imechapishwa: 21/06/2020
Swali: Kununua misahafu na kuiweka kwenye msikiti wa Makkah kwa nia ya swadaqah yenye kuendelea ni kitendo kinachojuzu?
Jibu: Ni tendo jema hili. Misahafu ilikuwa inanunuliwa wakati wa Salaf. Walikuwa wakiiuza. Huwezi kupata msahafu isipokuwa kwa njia ya kuununua. Vipi utaweza kupata msahafu ikiwa sio kwa njia ya kuununua? Je, wewe una uwezo wa kujiandikia msahafu wako mwenyewe? Nunua msahafu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14763
Imechapishwa: 21/06/2020
https://firqatunnajia.com/al-fawzaan-kuhusu-biashara-ya-misahafu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)