Swali 357: Ni ipi hukumu ya kutumia Siwaak? Muislamu atumie mkono gani?
Jibu: Siwaak ni Sunnah iliyokokotezwa na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) katika Hadiyth nyingi. Kuhusu mkono wa kutumia hakuna andiko la wazi tunalotegemea.
Wako wanachuoni wanaosema mkono wa kuume na wengine wanasema mkono wa kushoto. Lakini katika maoni mawili hayo yako ambayo yana mtazamo; wale wanaosema mkono wa kuume wanatendea kazi kuanza kutumia upande wa kuume katika kila jambo.
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Mar´ah al-Muslimah, uk. 138
- Imechapishwa: 27/09/2019
Swali 357: Ni ipi hukumu ya kutumia Siwaak? Muislamu atumie mkono gani?
Jibu: Siwaak ni Sunnah iliyokokotezwa na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) katika Hadiyth nyingi. Kuhusu mkono wa kutumia hakuna andiko la wazi tunalotegemea.
Wako wanachuoni wanaosema mkono wa kuume na wengine wanasema mkono wa kushoto. Lakini katika maoni mawili hayo yako ambayo yana mtazamo; wale wanaosema mkono wa kuume wanatendea kazi kuanza kutumia upande wa kuume katika kila jambo.
Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Mar´ah al-Muslimah, uk. 138
Imechapishwa: 27/09/2019
https://firqatunnajia.com/al-albaaniy-mkono-wa-kuutmia-wakati-wa-kupiga-siwaak/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)