Hizi ndio aina za wajinga:
1- Kuna mjinga ambaye anataka haki na anaitafuta. Lakini hata hivyo hakuisibu. Huyu mwenye kupewa udhuru.
2- Kuna mjinga ambaye hataki haki, hakuitafuta na endapo ataitafuta ataipata. Huyu sio mwenye kupewa udhuru.
3- Kuna mjinga asiyetambua haki lakini hata hivyo hakuitafuta na endapo ataitafuta ataipata. Huyu sio mwenye kupewa udhuru.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alharamain.gov.sa//index.cfm?do=cms.AudioDetails&audioid=67832&audiotype=lectures&browseby=speaker§
- Imechapishwa: 26/08/2017
Hizi ndio aina za wajinga:
1- Kuna mjinga ambaye anataka haki na anaitafuta. Lakini hata hivyo hakuisibu. Huyu mwenye kupewa udhuru.
2- Kuna mjinga ambaye hataki haki, hakuitafuta na endapo ataitafuta ataipata. Huyu sio mwenye kupewa udhuru.
3- Kuna mjinga asiyetambua haki lakini hata hivyo hakuitafuta na endapo ataitafuta ataipata. Huyu sio mwenye kupewa udhuru.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alharamain.gov.sa//index.cfm?do=cms.AudioDetails&audioid=67832&audiotype=lectures&browseby=speaker§
Imechapishwa: 26/08/2017
https://firqatunnajia.com/aina-za-wajinga/