Swali: Kuwaraddi Ahl-ul-Bid´ah na kutahadharisha nao kunaingia katika kuamrisha mema na kukataza maovu?
Jibu: Ndio, ni aina kubwa ya kuamrisha mema na kukataza maovu. Lakini hata hivyo hakuna wenye kuraddi isipokuwa wanachuoni; wao ndio wenye ujuzi juu ya Ruduud na dalili.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (14) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–14330720.mp3
- Imechapishwa: 09/06/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)