Swali: Kuwaraddi Ahl-ul-Bid´ah na kutahadharisha nao kunaingia katika kuamrisha mema na kukataza maovu?
Jibu: Ndio, ni aina kubwa ya kuamrisha mema na kukataza maovu. Lakini hata hivyo hakuna wenye kuraddi isipokuwa wanachuoni; wao ndio wenye ujuzi juu ya Ruduud na dalili.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (14) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–14330720.mp3
- Imechapishwa: 09/06/2020
Swali: Kuwaraddi Ahl-ul-Bid´ah na kutahadharisha nao kunaingia katika kuamrisha mema na kukataza maovu?
Jibu: Ndio, ni aina kubwa ya kuamrisha mema na kukataza maovu. Lakini hata hivyo hakuna wenye kuraddi isipokuwa wanachuoni; wao ndio wenye ujuzi juu ya Ruduud na dalili.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (14) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–14330720.mp3
Imechapishwa: 09/06/2020
https://firqatunnajia.com/aina-kubwa-ya-kuamrisha-mema-na-kukataza-maovu/