Swali 292: Je, inafaa sasa kusema kuhusu mtu aliyesifiwa kwa kheri:
“Imemthubutikia.”?
Jibu: Kwa mujibu wa ilivyokuja katika Hadiyth, ndiyo. Kwa sababu hiyo Abu Thawr alikuwa akisema:
“Hakika Ahmad bin Hanbal yuko Peponi.”
Kwa sababu amesifiwa kwa kheri. Ingawa maoni maarufu kwa Ahl-us-Sunnah ni kwamba hakuthibitishwi Pepo isipokuwa kwa yule aliyethibitishiwa kwa dalili, lakini maoni haya ni yenye nguvu na yamefahamishwa na dalili.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 107
- Imechapishwa: 22/05/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket