Swali: Je, ni sahihi ya kwamba wataokunywa kwenye hodhi ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ni Ahl-us-Sunnah peke yake? Ni ipi dalili ya hilo?
Jibu: Dalili inapatikana kwenye maneno yetu [tuliyozungumza katika darsa]. Tumelizungumzia masaa. Tumesema kwamba hanywi kwenye hodhi ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) isipokuwa mwenye kushikamana na Sunnah zake. Kuhusiana na mtu wa Bid´ah na mwenye kuritadi hawatokunywa kwenye hodhi yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (10) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_10.mp3
- Imechapishwa: 26/06/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket