Swali: Je, inajuzu kutukana dini iliyopotoshwa ambayo ni ya kiyahudi au kinaswara?
Jibu: Haitukanywi dini ambayo ina msingi na ina Mtume. Watu wake wanazo hukumu maalum ambapo wanaitwa “Ahl-ul-Kitaab”. Wataendelea kuitwa Ahl-ul-Kitaab mpaka kitaposimama Qiyaamah kwa ajili ya kuwapambanua na makafiri wengine ambao hawana Kitabu wala Mtume.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ma´aalim Manhaj Ahl-is-Sunnah wal-Jamaa´ah, uk. 47
- Imechapishwa: 04/06/2021
Swali: Je, inajuzu kutukana dini iliyopotoshwa ambayo ni ya kiyahudi au kinaswara?
Jibu: Haitukanywi dini ambayo ina msingi na ina Mtume. Watu wake wanazo hukumu maalum ambapo wanaitwa “Ahl-ul-Kitaab”. Wataendelea kuitwa Ahl-ul-Kitaab mpaka kitaposimama Qiyaamah kwa ajili ya kuwapambanua na makafiri wengine ambao hawana Kitabu wala Mtume.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ma´aalim Manhaj Ahl-is-Sunnah wal-Jamaa´ah, uk. 47
Imechapishwa: 04/06/2021
https://firqatunnajia.com/ahl-ul-kitaab-mpaka-qiyaamah/