Swali: Adhaana ya mtoto wa kiume aliye na miaka sita au saba ni sahihi?
Jibu: Ndio, ikiwa yuko na uwezo wa kupambanua mambo. Ikiwa yuko na uwezo wa kupambanua na swalah yake ni sahihi, hivyo adhaana yake pia ni sahihi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (8) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–14340429.mp3
- Imechapishwa: 14/01/2017
Swali: Adhaana ya mtoto wa kiume aliye na miaka sita au saba ni sahihi?
Jibu: Ndio, ikiwa yuko na uwezo wa kupambanua mambo. Ikiwa yuko na uwezo wa kupambanua na swalah yake ni sahihi, hivyo adhaana yake pia ni sahihi.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (8) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–14340429.mp3
Imechapishwa: 14/01/2017
https://firqatunnajia.com/adhaana-ya-mtoto/