Swali: Kuna mtu alikuwa anaswali Witr na katikati ya swalah yake muadhini akaadhini kwa ajili ya swalah ya alfajiri. Je, akamilishe swalah yake?
Jibu: Ndio. Kukiadhiniwa na yeye yuko katikati ya Witr yake atimize swalah yake na hakuna neno.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (14/115)
- Imechapishwa: 17/06/2017
Swali: Kuna mtu alikuwa anaswali Witr na katikati ya swalah yake muadhini akaadhini kwa ajili ya swalah ya alfajiri. Je, akamilishe swalah yake?
Jibu: Ndio. Kukiadhiniwa na yeye yuko katikati ya Witr yake atimize swalah yake na hakuna neno.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (14/115)
Imechapishwa: 17/06/2017
https://firqatunnajia.com/adhaana-ya-alfajiri-wakati-mtu-yuko-anaswali-witr/