Swali 237: Je, ni lazima kwa mwanamke kukimu swalah na kuadhini akiwa peke yake nyumbani kwake au akiswali mkusanyiko na wanawake wenzao?
Jibu: Si lazima kwake na wala haikuwekwa katika Shari´ah kufanya hivo.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Mar´ah al-Muslimah, uk. 92
- Imechapishwa: 14/08/2019
Swali 237: Je, ni lazima kwa mwanamke kukimu swalah na kuadhini akiwa peke yake nyumbani kwake au akiswali mkusanyiko na wanawake wenzao?
Jibu: Si lazima kwake na wala haikuwekwa katika Shari´ah kufanya hivo.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Mar´ah al-Muslimah, uk. 92
Imechapishwa: 14/08/2019
https://firqatunnajia.com/adhaana-haikusuniwa-kwa-mwanamke/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)