Swali 237: Je, ni lazima kwa mwanamke kukimu swalah na kuadhini akiwa peke yake nyumbani kwake au akiswali mkusanyiko na wanawake wenzao?
Jibu: Si lazima kwake na wala haikuwekwa katika Shari´ah kufanya hivo.
- Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Mar´ah al-Muslimah, uk. 92
- Imechapishwa: 14/08/2019
Swali 237: Je, ni lazima kwa mwanamke kukimu swalah na kuadhini akiwa peke yake nyumbani kwake au akiswali mkusanyiko na wanawake wenzao?
Jibu: Si lazima kwake na wala haikuwekwa katika Shari´ah kufanya hivo.
Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Mar´ah al-Muslimah, uk. 92
Imechapishwa: 14/08/2019
https://firqatunnajia.com/adhaana-haikusuniwa-kwa-mwanamke/