Swali: Ambaye anataka kuchukua mkopo kutoka benki analazimika kulipa 2000 SAR ambayo wanaita kuwa ni “pesa ya idara”…
Jibu: Hii ni ribaa inayolipwa kabla na wanaita kuwa ni “ada ya idara” na majina mengine ya kuazima. Ambaye anawakopa pesa watu anatakiwa kufanya hivo kwa ajili ya Allaah na kuchukua kile alichokopa peke yake. Istilahi kama ada ya usimamizi ni upenyo na njama za ribaa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (29)
- Imechapishwa: 11/02/2022
Swali: Ambaye anataka kuchukua mkopo kutoka benki analazimika kulipa 2000 SAR ambayo wanaita kuwa ni “pesa ya idara”…
Jibu: Hii ni ribaa inayolipwa kabla na wanaita kuwa ni “ada ya idara” na majina mengine ya kuazima. Ambaye anawakopa pesa watu anatakiwa kufanya hivo kwa ajili ya Allaah na kuchukua kile alichokopa peke yake. Istilahi kama ada ya usimamizi ni upenyo na njama za ribaa.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (29)
Imechapishwa: 11/02/2022
https://firqatunnajia.com/ada-ya-idara-upenyo-na-njama-ya-ribaa/