Swali: Ambaye anataka kuchukua mkopo kutoka benki analazimika kulipa 2000 SAR ambayo wanaita kuwa ni “pesa ya idara”…
Jibu: Hii ni ribaa inayolipwa kabla na wanaita kuwa ni “ada ya idara” na majina mengine ya kuazima. Ambaye anawakopa pesa watu anatakiwa kufanya hivo kwa ajili ya Allaah na kuchukua kile alichokopa peke yake. Istilahi kama ada ya usimamizi ni upenyo na njama za ribaa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (29)
- Imechapishwa: 11/02/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)