Swali: Nimewasikia baadhi ya wanachuoni wakisema kuwa ni wajibu kuwaombea al-Ikhwaan al-Muslimuun. Unasemaje juu ya hili?
Jibu: Ni wepi hao?
Muulizaji: Mfano wa Shaykh ´Abdullaah al-Mutlaq ambaye ni mwanachama wa Kibaar-ul-´Ulamaa´. Anasema kuwa inatakiwa kuwaombea al-Ikhwaan al-Muslimuun.
Jibu: Ndio, kwa sababu yeye ni katika wao.
Swali: Shaykh ´Abdullaah al-Mutlaq ni katika al-Ikhwaan?
Jibu: Ndio.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=6–wybT4dDQ&feature=youtu.be
- Imechapishwa: 18/05/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)