Aanze kuoga janaba au daku kwanza?

Swali: Akiamka mtu ilihali yuko na janaba, na na hapakubaki ila wakati mdogo wa adhaana ya pili. Je, aanze kula daku kisha ndo akoge ili awahi muda wa daku? Au akoge kwanza impite daku?

Jibu: Aanze kula daku kisha ndo aoge. Na awahi mkusanyiko – Allaah akitaka.

  • Mhusika: ´Allaamah Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab al-Waswaabiy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://alwasabi.al3ilm.com/alfatawaa
  • Imechapishwa: 10/05/2020