Swali: Mimi ni mswaliji mwenye aleji na ninaudhika kwa harufu za waswaliji wengi. Inajuzu kwangu kubaki na kuswali nyumbani kwangu?
Jibu: Ikiwa haya yanakudhuru na yanakuathiri, baki nyumbani mpaka pale litapoondoka tatizo hili. Ama ikiwa halikudhuru wala halikuathiri, basi kuwa na subira na unaweza kuweka kizuizi kinachozuia harufu kuingia ndani.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (86) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/NEW.lite_.mp3
- Imechapishwa: 07/07/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)