2-
اللهم إني أعوذُ بِكَ مِنْ شَرِّ ما عَمِلْتُ و مِنْ شَرِّ ما لَمْ أعْمَلْ بَعد
“Ee Allaah! Nakuomba ulinzi kutokamana na shari ya niliyoyafanya na kutokamana na shari ya ambayo [bado] sijayafanya[1].”[2]
[1] Bi maana kutokamana na shari ya madhambi niliyoyafanya na matendo mema niliyoyaacha.
[2] an-Nasaa’iy kwa cheni ya wapokezi Swahiyh na Ibn Abiy ´Aaswim katika ”as-Sunnah” (370 kwa mujibu wa ukaguzi wangu) ambao pia uko na hiyo ziada.
- Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swifatu Swalaat-in-Nabiy, uk. 160
- Imechapishwa: 09/01/2019
2-
اللهم إني أعوذُ بِكَ مِنْ شَرِّ ما عَمِلْتُ و مِنْ شَرِّ ما لَمْ أعْمَلْ بَعد
“Ee Allaah! Nakuomba ulinzi kutokamana na shari ya niliyoyafanya na kutokamana na shari ya ambayo [bado] sijayafanya[1].”[2]
[1] Bi maana kutokamana na shari ya madhambi niliyoyafanya na matendo mema niliyoyaacha.
[2] an-Nasaa’iy kwa cheni ya wapokezi Swahiyh na Ibn Abiy ´Aaswim katika ”as-Sunnah” (370 kwa mujibu wa ukaguzi wangu) ambao pia uko na hiyo ziada.
Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swifatu Swalaat-in-Nabiy, uk. 160
Imechapishwa: 09/01/2019
https://firqatunnajia.com/99-duaa-ya-pili-kabla-ya-tasliym/