Miongoni mwa mambo yasiyokuwa na mashaka yoyote ndani yake ni kwamba kushikamana barabara na Sunnah kunamuokoa mtu kutotumbukia ndani ya Bid´ah na upotevu. Amesema (Ta´ala):
وَأَنَّ هَـٰذَا صِرَاطِي مُسْتَقِيمًا فَاتَّبِعُوهُ ۖ وَلَا تَتَّبِعُوا السُّبُلَ فَتَفَرَّقَ بِكُمْ عَن سَبِيلِهِ
“Na kwamba hii njia Yangu iliyonyooka, hivyo basi ifuateni na wala msifuate njia nyenginezo zitakufarikisheni na njia Yake!”[1]
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameyaweka hayo wazi katika yale yaliyopokelewa na Ibn Mas´uud (Radhiya Allaahu ´anh) pale alipoeleza:
“Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipiga msitari na akasema: “Hii ni njia ya Allaah” kisha akapiga misitari kuliani na kushotoni na akasema: “Hivi ni vijia; katika kila njia kuna shaytwaan anayelingania kwayo” halafu akasoma:
وَأَنَّ هَـٰذَا صِرَاطِي مُسْتَقِيمًا فَاتَّبِعُوهُ ۖ وَلَا تَتَّبِعُوا السُّبُلَ فَتَفَرَّقَ بِكُمْ عَن سَبِيلِهِ ۚ ذَٰلِكُمْ وَصَّاكُم بِهِ لَعَلَّكُمْ تَتَّقُونَ
Yule anayeipa mgongo Qur-aan na Sunnah atashika vijia vya Bid´ah zilizozuliwa.“Na kwamba hii njia Yangu iliyonyooka, hivyo basi ifuateni na wala msifuate njia nyenginezo zitakufarikisheni na njia Yake! Hivyo ndivyo Alivyokuusieni kwayo mpate kumcha Allaah.”[2]
Sababu zilizopelekea kudhihiri kwa Bid´ah zinafupika katika mambo yafuatayo:
1- Kuwa na ujinga juu ya hukumu za dini.
2- Kufuata matamanio.
3- Kufanya ushabiki juu ya maoni na watu.
4- Kujifananisha na kuwafuata kichwa mchunga makafiri.
Tutatoa maelezo kiasi juu ya mambo haya:
[1] 06:153
[2] Ahmad (4225).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ´Aqiydat-ut-Tawhiyd, uk. 186
- Imechapishwa: 02/07/2020
Miongoni mwa mambo yasiyokuwa na mashaka yoyote ndani yake ni kwamba kushikamana barabara na Sunnah kunamuokoa mtu kutotumbukia ndani ya Bid´ah na upotevu. Amesema (Ta´ala):
وَأَنَّ هَـٰذَا صِرَاطِي مُسْتَقِيمًا فَاتَّبِعُوهُ ۖ وَلَا تَتَّبِعُوا السُّبُلَ فَتَفَرَّقَ بِكُمْ عَن سَبِيلِهِ
“Na kwamba hii njia Yangu iliyonyooka, hivyo basi ifuateni na wala msifuate njia nyenginezo zitakufarikisheni na njia Yake!”[1]
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameyaweka hayo wazi katika yale yaliyopokelewa na Ibn Mas´uud (Radhiya Allaahu ´anh) pale alipoeleza:
“Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipiga msitari na akasema: “Hii ni njia ya Allaah” kisha akapiga misitari kuliani na kushotoni na akasema: “Hivi ni vijia; katika kila njia kuna shaytwaan anayelingania kwayo” halafu akasoma:
وَأَنَّ هَـٰذَا صِرَاطِي مُسْتَقِيمًا فَاتَّبِعُوهُ ۖ وَلَا تَتَّبِعُوا السُّبُلَ فَتَفَرَّقَ بِكُمْ عَن سَبِيلِهِ ۚ ذَٰلِكُمْ وَصَّاكُم بِهِ لَعَلَّكُمْ تَتَّقُونَ
Yule anayeipa mgongo Qur-aan na Sunnah atashika vijia vya Bid´ah zilizozuliwa.“Na kwamba hii njia Yangu iliyonyooka, hivyo basi ifuateni na wala msifuate njia nyenginezo zitakufarikisheni na njia Yake! Hivyo ndivyo Alivyokuusieni kwayo mpate kumcha Allaah.”[2]
Sababu zilizopelekea kudhihiri kwa Bid´ah zinafupika katika mambo yafuatayo:
1- Kuwa na ujinga juu ya hukumu za dini.
2- Kufuata matamanio.
3- Kufanya ushabiki juu ya maoni na watu.
4- Kujifananisha na kuwafuata kichwa mchunga makafiri.
Tutatoa maelezo kiasi juu ya mambo haya:
[1] 06:153
[2] Ahmad (4225).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: ´Aqiydat-ut-Tawhiyd, uk. 186
Imechapishwa: 02/07/2020
https://firqatunnajia.com/95-sura-ya-pili-sababu-zilizopelekea-katika-bidah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)