Nilimuuliza Ibn-ul-Qaasim Maalik anaoneleaje juu ya waafrika ambao wako nje ya nchi sku ya ´iyd; ni wapi wanatakiwa kutoa Zakaat-ul-Fitwr? Akasema:
“Wanapotaka, ndivo anavosema Maalik.”
Maalik amesema:
“Ni sahihi pia familia yake Afrika wakamtolea kwa niaba yake.”
- Muhusika: Imaam Sahnuun bin Sa´iyd at-Tanuukhiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Mudawwanah al-Kubraa (1/110)
- Imechapishwa: 04/05/2021
Nilimuuliza Ibn-ul-Qaasim Maalik anaoneleaje juu ya waafrika ambao wako nje ya nchi sku ya ´iyd; ni wapi wanatakiwa kutoa Zakaat-ul-Fitwr? Akasema:
“Wanapotaka, ndivo anavosema Maalik.”
Maalik amesema:
“Ni sahihi pia familia yake Afrika wakamtolea kwa niaba yake.”
Muhusika: Imaam Sahnuun bin Sa´iyd at-Tanuukhiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Mudawwanah al-Kubraa (1/110)
Imechapishwa: 04/05/2021
https://firqatunnajia.com/94188-2/