Swali 90: Kumwombea du´aa ya uthabiti maiti kunakuwa kabla au baada ya kuzika[1]?
Jibu: Kunakuwa baada ya kumaliza kuzika. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa anapomaliza kumzika maiti basi husimama karibu naye na kusema:
“Mwombeeni msamaha ndugu yenu na mtakieni uimara; kwani hakika hivi sasa anahojiwa.”[2]
Kuhusu wakati wa kuzika mtu atasema:
بسم الله وعلى ملة رسول الله
“Kwa jina la Allaah na juu ya mila ya Mtume wa Allaah.”
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/206).
[2] Abu Daawuud (3221).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 63-64
- Imechapishwa: 05/01/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket