Swali 9: Waumini wamegawanyika daraja ngapi na ni zipi?
Jibu: Waumini wamegawanyika daraja tatu:
1- Aliyetangulia katika mambo ya kheri. Ni wale wenye kufanya yale ya wajibu na yaliyopendekezwa na wakajiepusha na yale ya haramu na yenye kuchukiza.
2- Wa kati na kati. Ni wale wenye kufanya yale ya wajibu na kujiepusha na yaliyoharamishwa.
3- Aliyejidhulumu nafsi. Ni wale wenye kuchanganya matendo mazuri na mabaya.
- Muhusika: Imaam ´Abdur-Rahmaan bin Naaswir as-Sa´diy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahamm-ul-Muhimmaat, uk. 46
- Imechapishwa: 25/03/2017
Swali 9: Waumini wamegawanyika daraja ngapi na ni zipi?
Jibu: Waumini wamegawanyika daraja tatu:
1- Aliyetangulia katika mambo ya kheri. Ni wale wenye kufanya yale ya wajibu na yaliyopendekezwa na wakajiepusha na yale ya haramu na yenye kuchukiza.
2- Wa kati na kati. Ni wale wenye kufanya yale ya wajibu na kujiepusha na yaliyoharamishwa.
3- Aliyejidhulumu nafsi. Ni wale wenye kuchanganya matendo mazuri na mabaya.
Muhusika: Imaam ´Abdur-Rahmaan bin Naaswir as-Sa´diy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahamm-ul-Muhimmaat, uk. 46
Imechapishwa: 25/03/2017
https://firqatunnajia.com/9-waumini-wako-daraja-ngapi-na-ni-zipi/