Katika mambo yanayofahamisha kuwa Muumba (Tabaarak wa Ta´ala) yuko juu ya kila kitu, juu ya ´Arshi Yake tukufu, na hakukita mahali popote, ni maneno Yake (Ta´ala):
وَسِعَ كُرْسِيُّهُ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضَ ۖ وَلَا يَئُودُهُ حِفْظُهُمَا ۚ وَهُوَ الْعَلِيُّ الْعَظِيمُ
”Kursiy Yake imeenea mbingu na ardhi. Wala hakumchoshi kuvihifadhi viwili hivyo. Naye yujuu kabisa, Ametukuka.”[1]
وَهُوَ الْعَلِيُّ الْكَبِيرُ
”Naye Yuko juu, Mkubwa kabisa.”[2]
عَالِمُ الْغَيْبِ وَالشَّهَادَةِ الْكَبِيرُ الْمُتَعَالِ
”Mjuzi wa yaliyofichikana na yenye kuonekana, Mkubwa kabisa Aliye juu.”[3]
سَبِّحِ اسْمَ رَبِّكَ الْأَعْلَى
“Sabihi Jina la Mola wako Aliye juu!”[4]
Mtume wetu (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ametuamrisha sisi kusema tunaposujudu:
سبحان ربي الأعلى
“Ametakasika Mola wangu, Aliye juu kabisa.”
Amesema (Ta´ala) kuhusu mashahidi:
بَلْ أَحْيَاءٌ عِندَ رَبِّهِمْ يُرْزَقُونَ
”Bali wahai kwa Mola wao wanaruzukiwa.”[5]
Amesema (Ta´ala) kuhusu mke wa Fir´awn:
رَبِّ ابْنِ لِي عِندَكَ بَيْتًا فِي الْجَنَّةِ
”Mola wangu! Nijengee nyuma Kwako kwenye Pepo.”[6]
[1] 02:255
[2] 34:23
[3] 13:09
[4] 87:01
[5] 3:169
[6] 66:11
- Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Mukhtasar-ul-´Uluww, uk. 106
- Imechapishwa: 01/07/2024
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Katika mambo yanayofahamisha kuwa Muumba (Tabaarak wa Ta´ala) yuko juu ya kila kitu, juu ya ´Arshi Yake tukufu, na hakukita mahali popote, ni maneno Yake (Ta´ala):
وَسِعَ كُرْسِيُّهُ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضَ ۖ وَلَا يَئُودُهُ حِفْظُهُمَا ۚ وَهُوَ الْعَلِيُّ الْعَظِيمُ
”Kursiy Yake imeenea mbingu na ardhi. Wala hakumchoshi kuvihifadhi viwili hivyo. Naye yujuu kabisa, Ametukuka.”[1]
وَهُوَ الْعَلِيُّ الْكَبِيرُ
”Naye Yuko juu, Mkubwa kabisa.”[2]
عَالِمُ الْغَيْبِ وَالشَّهَادَةِ الْكَبِيرُ الْمُتَعَالِ
”Mjuzi wa yaliyofichikana na yenye kuonekana, Mkubwa kabisa Aliye juu.”[3]
سَبِّحِ اسْمَ رَبِّكَ الْأَعْلَى
“Sabihi Jina la Mola wako Aliye juu!”[4]
Mtume wetu (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ametuamrisha sisi kusema tunaposujudu:
سبحان ربي الأعلى
“Ametakasika Mola wangu, Aliye juu kabisa.”
Amesema (Ta´ala) kuhusu mashahidi:
بَلْ أَحْيَاءٌ عِندَ رَبِّهِمْ يُرْزَقُونَ
”Bali wahai kwa Mola wao wanaruzukiwa.”[5]
Amesema (Ta´ala) kuhusu mke wa Fir´awn:
رَبِّ ابْنِ لِي عِندَكَ بَيْتًا فِي الْجَنَّةِ
”Mola wangu! Nijengee nyuma Kwako kwenye Pepo.”[6]
[1] 02:255
[2] 34:23
[3] 13:09
[4] 87:01
[5] 3:169
[6] 66:11
Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Mukhtasar-ul-´Uluww, uk. 106
Imechapishwa: 01/07/2024
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/86-muumba-yuko-juu-ya-arshi-yake/