Kuhusu makafiri, kwa vile walimkufuru na wakakadhibisha alama Zake duniani, basi Allaah atajizuia nao wasimuone siku ya Qiyaamah. Allaah (Jalla wa ´Alaa) amesema:
كَلَّا إِنَّهُمْ عَن رَّبِّهِمْ يَوْمَئِذٍ لَّمَحْجُوبُونَ
“Sivyo hivyo! Hakika wao Siku hiyo bila shaka watazuiwa wasimuone Mola wao.”[1]
Bi maana siku ya Qiyaamah. Kwa ajili ya kuwatweza hawatomuona Mola wao. Kwa sababu wamemkanusha na wakamkufuru duniani, basi Allaah atawanyima kumuona siku ya Qiyaamah.
[1] 83:15
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Bayaan-ul-Ma´aaniy fiy Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy, uk. 62
- Imechapishwa: 18/08/2021
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)