Aliyoteremsha Allaah yamegawanyika aina mbili:
1- Ya kwanza: Qur-aan. Huu ndio Wahy wa kwanza na chanzo cha kwanza miongoni mwa vyanzo vya Uislamu.
2- Ya pili: Ni Sunnah aliyokuja nayo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kwa sababu ni Wahy kutoka kwa Allaah (Jalla wa ´Alaa). Allaah (Jalla wa ´Alaa) anasema kumwambia Mtume wake Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
وَمَا يَنطِقُ عَنِ الْهَوَىٰ إِنْ هُوَ إِلَّا وَحْيٌ يُوحَىٰ
”Hatamki kwa matamanio yake. Hayakuwa ayasemayo isipokuwa ni Wahy unaofunuliwa kwake.” (an-Najm 53:03-04)
وَمَا آتَاكُمُ الرَّسُولُ فَخُذُوهُ وَمَا نَهَاكُمْ عَنْهُ فَانتَهُوا ۚ وَاتَّقُوا اللَّـهَ ۖ إِنَّ اللَّـهَ شَدِيدُ الْعِقَابِ
”Kile alichokupeni Mtume basi kichukueni na kile alichokukatazeni basi kiacheni. Mcheni Allaah! Hakika Allaah ni mkali wa kuadhibu.” (al-Hashr 59:07)
Sunnah ndio Wahy wa pili na ndio chanzo cha pili katika vyanzo ya Uislamu na hukumu za Kishari´ah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 111
- Imechapishwa: 20/11/2018
Aliyoteremsha Allaah yamegawanyika aina mbili:
1- Ya kwanza: Qur-aan. Huu ndio Wahy wa kwanza na chanzo cha kwanza miongoni mwa vyanzo vya Uislamu.
2- Ya pili: Ni Sunnah aliyokuja nayo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kwa sababu ni Wahy kutoka kwa Allaah (Jalla wa ´Alaa). Allaah (Jalla wa ´Alaa) anasema kumwambia Mtume wake Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
وَمَا يَنطِقُ عَنِ الْهَوَىٰ إِنْ هُوَ إِلَّا وَحْيٌ يُوحَىٰ
”Hatamki kwa matamanio yake. Hayakuwa ayasemayo isipokuwa ni Wahy unaofunuliwa kwake.” (an-Najm 53:03-04)
وَمَا آتَاكُمُ الرَّسُولُ فَخُذُوهُ وَمَا نَهَاكُمْ عَنْهُ فَانتَهُوا ۚ وَاتَّقُوا اللَّـهَ ۖ إِنَّ اللَّـهَ شَدِيدُ الْعِقَابِ
”Kile alichokupeni Mtume basi kichukueni na kile alichokukatazeni basi kiacheni. Mcheni Allaah! Hakika Allaah ni mkali wa kuadhibu.” (al-Hashr 59:07)
Sunnah ndio Wahy wa pili na ndio chanzo cha pili katika vyanzo ya Uislamu na hukumu za Kishari´ah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 111
Imechapishwa: 20/11/2018
https://firqatunnajia.com/83-aina-ya-vyanzo-vya-kishariah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)