Zipo hali tatu pale ambapo mtu anasahau Tashahhud ya kwanza:
1 – Akakumbuka kabla hajasimama kunyooka sawasawa. Katika hali hii analazimika kurejea na asujudu sijdah ya kusahau.
2 – Akakumbuka baada ya kwamba ameshasimama kunyooka sawasawa lakini kabla ya kuanza kusoma. Bora kwa mtu huyu ni kuendelea na asirejee. Akirejea imechukizwa juu yake.
3 – Asikumbuke isipokuwa baada ya kuanza kusoma al-Faatihah. Katika hali hii imeharamishwa kwake kurejea. Kwa sababu atakuwa ameichanganya na nguzo nyingine.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Shuruwt-is-Swalaah, uk. 108
- Imechapishwa: 04/07/2022
Zipo hali tatu pale ambapo mtu anasahau Tashahhud ya kwanza:
1 – Akakumbuka kabla hajasimama kunyooka sawasawa. Katika hali hii analazimika kurejea na asujudu sijdah ya kusahau.
2 – Akakumbuka baada ya kwamba ameshasimama kunyooka sawasawa lakini kabla ya kuanza kusoma. Bora kwa mtu huyu ni kuendelea na asirejee. Akirejea imechukizwa juu yake.
3 – Asikumbuke isipokuwa baada ya kuanza kusoma al-Faatihah. Katika hali hii imeharamishwa kwake kurejea. Kwa sababu atakuwa ameichanganya na nguzo nyingine.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Shuruwt-is-Swalaah, uk. 108
Imechapishwa: 04/07/2022
https://firqatunnajia.com/76-hali-tatu-mtu-anaposahau-tashahhud-ya-kwanza/