72. Safu za Malaika mbele ya Allaah

72 – Jaabir bin Samurah amesema:

”Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alijitokeza kwetu na kusema: ”Je, hampangi safu kama wanavyopanga safu Malaika.” Wakasema: ”Ee Mtume wa Allaah, ni vipi wanapanga safu Malaika mbele ya Mola wao?” Akasema: ”Wanakamilisha safu ya kwanza na wanasimama kwa kukamatana katika safu.”

Ameipokea Muslim.

  • Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Mukhtasar-ul-´Uluww, uk. 112
  • Imechapishwa: 26/06/2024
  • taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy