Swali 68: Ni ipi hukumu ya kusoma kwa mwalimu ambaye ana ´Aqiydah tofauti na Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah inapokuja katika majina na sifa za Allaah?
Jibu: Kuchagua mwalimu ambaye amenyooka katika ´Aqiydah na elimu yake ni jambo linalotakikana. Isipowezekana na huyu akawa anafunza kwa mfano Fiqh, sarufi na maudhui mengine yasiyokuwa na uhusiano na ´Aqiydah, basi haina neno kusoma kwake katika zile mada anazoziweza vizuri. Kuhusu ´Aqiydah usiisome isipokuwa tu kwa wale watu walio na ´Aqiydah sahihi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Ajwibah al-Mufiydah ´an As-ilat-il-Manaahij al-Jadiydah, uk. 175-176
- Imechapishwa: 01/07/2024
- Taaliki: Shaykh Jamaal bin Furahyaan al-Haarithiy
Swali 68: Ni ipi hukumu ya kusoma kwa mwalimu ambaye ana ´Aqiydah tofauti na Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah inapokuja katika majina na sifa za Allaah?
Jibu: Kuchagua mwalimu ambaye amenyooka katika ´Aqiydah na elimu yake ni jambo linalotakikana. Isipowezekana na huyu akawa anafunza kwa mfano Fiqh, sarufi na maudhui mengine yasiyokuwa na uhusiano na ´Aqiydah, basi haina neno kusoma kwake katika zile mada anazoziweza vizuri. Kuhusu ´Aqiydah usiisome isipokuwa tu kwa wale watu walio na ´Aqiydah sahihi.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Ajwibah al-Mufiydah ´an As-ilat-il-Manaahij al-Jadiydah, uk. 175-176
Imechapishwa: 01/07/2024
Taaliki: Shaykh Jamaal bin Furahyaan al-Haarithiy
https://firqatunnajia.com/68-ni-ipi-hukumu-ya-kusoma-kwa-mwalimu-ambaye-ana-aqiydah-tofauti-na-ahl-us-sunnah-wal-jamaaah-inapokuja-katika-majina-na-sifa-za-allaah/