Swali 66: Inafaa kuchelewesha mazishi ya mtu ambaye ana umuhimu katika Uislamu kwa mfano kwa muda wa siku tatu[1]?
Jibu: Ikiwa kuna maslahi katika kule kuchelewesha ni sawa. Ni kama ambavo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alicheleweshwa ambapo alikufa siku ya jumatatu na hakuzikwa isipokuwa jumatano. Ikiwa kuna maslahi kama kufika kwa jamaa zake au mengineyo hapana shida.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/183).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 48
- Imechapishwa: 28/12/2021
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket