236 – Hishaam bin ´Amaarah ametuhadithia: Ismaa´iyl bin ´Ayyaash ametukhabarisha: ´Amaarah bin Ghaziyyah ametukhabarisha, kutoka kwa Rabiy´ah bin ´Abdir-Rahmaan, kutoka kwa ´Abdul-Malik bin Sa´iyd al-Answaariy, kutoka kwa Abu Usayd, ambaye amesimulia kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Fanyeni vizuri katika kuitafuta dunia. Kwani kila mmoja amewepesishiwa kwa kile alichoumbiwa kutokana nayo.” [1]
[1] Ibn Maajah (2142). Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika “Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb” (1699).
- Muhusika: Imaam Abu Bakr Ahmad bin Abiy ´Aaswim ash-Shaybaaniy (a.f.k. 287)
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-uz-Zuhd, uk. 63
- Imechapishwa: 22/07/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket