Abu Ja´far at-Twahaawiy (Rahimahu Allaah) amesema:
107 – Du´aa ya waliohai na swadaqah zao zinawanufaisha wafu.
MAELEZO
Ibn Abiyl-´Izz (Rahimahu Allaah) amenakili maafikiano ya Ahl-us-Sunnah juu ya suala hilo na kisha akataja dalili ndani ya Qur-aan na Sunnah. Hata hivyo katika yanayohusiana na swadaqah hakutaja isipokuwa tu yale yanayofahamisha kuwa baba ndiye anayenufaika na swadaqah ya mtoto wake, jambo ambalo ni maalum zaidi kuliko madai yote. Nimebainisha suala hili na kulihoji juu ya makubaliano yaliyotajwa katika “Ahkaam-ul-Janaa’iz”[1].
[1] Tazama “Ahkaam-ul-Janaa’iz”, uk. 173.
- Muhusika: Sharh al-´Aqiydah at-Twahaawiyyah – al-Albaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-´Aqiydah at-Twahaawiyyah – Sharh wa Ta´liyq, uk. 99-100
- Imechapishwa: 16/10/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
Related
116. Maiti hawajui matendo ya jamaa zao waliohai
Swali 116: Je, wafu wanayajua matendo ya jamaa zao waliohai[1]? Jibu: Sijui chochote katika Shari´ah kinachojulisha juu ya hayo. [1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/336).
In "Ahkaam-ul-Janaa-iz - Ibn Baaz"
197. Thawabu zinazoendelea baada ya kufa
Abu Ja´far at-Twahaawiy (Rahimahu Allaah) amesema: 150 – Du´aa ya waliohai na swadaqah zao zinawanufaisha wafu. MAELEZO Haya ni masuala yanahusiana na Fiqh, lakini yana mafungamano na ´Aqiydah. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema: “Anapofariki mwanadamu basi matendo yake yote hukatika isipokuwa vitu vitatu; swadaqah yenye kuendelea, elimu ambayo…
In "Sharh al-´Aqiydah at-Twahaawiyyah - al-Fawzaan"
Kuchinja Udhhiyah kwa ajili ya maiti
Swali: Ni ipi hukumu ya ambaye anamchinjia Udhhiyah nduguye aliyekwishakufa? Jibu: Hakuna neno. Ni swadaqah miongoni mwa swadaqah. Ikiwa ni wasia basi ni lazima kuutekeleza. Isipokuwa wasia basi washiriki. Waliohai na waliokwishakufa wanatakiwa kushiriki katika kichinjwa kimoja. Kilichotangaa kwa Fuqahaa´ ni kwamba inafaa kumchinjia maiti na kwamba ni swadaqah miongoni…
In "Udhhiyah kwa niaba ya mwengine"