234 – Abu Bakr ametukhabarisha: ´Affaan ametukhabarisha: Salaam Abul-Mundhir ametuhadithia, kutoka kwa Thaabit, kutoka kwa Anas, ambaye amesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Nimependezewa mimi katika dunia wanawake na manukato na kitulizo cha jicho langu kimefanywa ni ndani ya swalah.”[1]
235 – Abu Kaamil ametuhadithia: Salaam bin Abiys-Swahbaa’ ametuhadithia, kutoka kwa Thaabit, kutoka kwa Anas, ambaye amesimulia kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Nimependezewa mimi katika dunia manukato na wanawake.”
[1] Ahmad, an-Nasaa’iy katika ”´Ishrat-un-Nisaa” (3939-3940), al-Haakim na al-Bayhaqiy. Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika “Swahiyh-ul-Jaamiy´” (3124).
- Muhusika: Imaam Abu Bakr Ahmad bin Abiy ´Aaswim ash-Shaybaaniy (a.f.k. 287)
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-uz-Zuhd, uk. 63
- Imechapishwa: 22/07/2025
234 – Abu Bakr ametukhabarisha: ´Affaan ametukhabarisha: Salaam Abul-Mundhir ametuhadithia, kutoka kwa Thaabit, kutoka kwa Anas, ambaye amesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Nimependezewa mimi katika dunia wanawake na manukato na kitulizo cha jicho langu kimefanywa ni ndani ya swalah.”[1]
235 – Abu Kaamil ametuhadithia: Salaam bin Abiys-Swahbaa’ ametuhadithia, kutoka kwa Thaabit, kutoka kwa Anas, ambaye amesimulia kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Nimependezewa mimi katika dunia manukato na wanawake.”
[1] Ahmad, an-Nasaa’iy katika ”´Ishrat-un-Nisaa” (3939-3940), al-Haakim na al-Bayhaqiy. Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika “Swahiyh-ul-Jaamiy´” (3124).
Muhusika: Imaam Abu Bakr Ahmad bin Abiy ´Aaswim ash-Shaybaaniy (a.f.k. 287)
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-uz-Zuhd, uk. 63
Imechapishwa: 22/07/2025
https://firqatunnajia.com/65-mapenzi-kwa-wanawake-na-manukato/