Swali 65: Je, analipwa thawabu mjinga mzushi kwa Bid´ah yake ikiwa hajui haki au haikubaliwi kutoka kwake licha ya kwamba nia yake ilikuwa nzuri?
Jibu: Halipwi thawabu kwa kitendo hicho. Kwa sababu hakikuwekwa katika Shari´ah. Hata hivyo anasalimika kutokana na madhambi kutokana na udhuru wa ujinga peke yake.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Ajwibah al-Mufiydah ´an As-ilat-il-Manaahij al-Jadiydah, uk. 172
- Imechapishwa: 30/06/2024
- Taaliki: Shaykh Jamaal bin Furahyaan al-Haarithiy
Swali 65: Je, analipwa thawabu mjinga mzushi kwa Bid´ah yake ikiwa hajui haki au haikubaliwi kutoka kwake licha ya kwamba nia yake ilikuwa nzuri?
Jibu: Halipwi thawabu kwa kitendo hicho. Kwa sababu hakikuwekwa katika Shari´ah. Hata hivyo anasalimika kutokana na madhambi kutokana na udhuru wa ujinga peke yake.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Ajwibah al-Mufiydah ´an As-ilat-il-Manaahij al-Jadiydah, uk. 172
Imechapishwa: 30/06/2024
Taaliki: Shaykh Jamaal bin Furahyaan al-Haarithiy
https://firqatunnajia.com/65-je-mzushi-mjinga-analipwa-thawabu-kwa-bidah-yake/