231 – Hishaam bin ´Ammaar ametukhabarisha: al-Hakam bin Hishaam ametukhabarisha: Yahyaa bin Sa´iyd bin Abaan al-Qurashiy ametukhabarisha, kutoka kwa Abu Farwah, kutoka kwa Abu Khallaad, ambaye alikuwa Swahabah, ambaye amesimulia kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mkimuona muumini ambaye amepewa kuipa nyongo dunia na uchache wa kuzungumza, basi msogeleeni – kwani hakika amepewa hekima.”[1]
[1] Dhaifu kwa mujibu wa al-Albaaniy katika “Dhwa´iyf-ul-Jaamiy´” (4101).
- Muhusika: Imaam Abu Bakr Ahmad bin Abiy ´Aaswim ash-Shaybaaniy (a.f.k. 287)
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-uz-Zuhd, uk. 62
- Imechapishwa: 21/07/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket