230 – Duhaym ametuhadithia: Ibn Abiy Fudayk ametukhabarisha, kutoka kwa ´Umar bin Wakiy´, kutoka kwa Ibn ´Umar, ambaye ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Kitu pekee tulichopata kutokana na dunia hii ni wanawake wenu.”[1]
[1] Dhaifu kwa mujibu wa al-Albaaniy katika “Dhwa´iyf-ul-Jaamiy´” (5003).
- Muhusika: Imaam Abu Bakr Ahmad bin Abiy ´Aaswim ash-Shaybaaniy (a.f.k. 287)
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-uz-Zuhd, uk. 61
- Imechapishwa: 21/07/2025
230 – Duhaym ametuhadithia: Ibn Abiy Fudayk ametukhabarisha, kutoka kwa ´Umar bin Wakiy´, kutoka kwa Ibn ´Umar, ambaye ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Kitu pekee tulichopata kutokana na dunia hii ni wanawake wenu.”[1]
[1] Dhaifu kwa mujibu wa al-Albaaniy katika “Dhwa´iyf-ul-Jaamiy´” (5003).
Muhusika: Imaam Abu Bakr Ahmad bin Abiy ´Aaswim ash-Shaybaaniy (a.f.k. 287)
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-uz-Zuhd, uk. 61
Imechapishwa: 21/07/2025
https://firqatunnajia.com/62-kitu-pekee-alichopata-mtume-katika-ulimwengu/