Swali 60: Ni ipi maana ya Hadiyth ya Umm ´Atwiyyah:
“Tumekatazwa kufuata jeneza?”[1]
Jibu: Malengo ya makatazo ni kukatazwa kulisindikiza makaburini. Ama kumswalia ni jambo limesuniwa kwa wanamme na wanawake. Wanawake walikuwa wakiswalia jeneza pamoja na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/178).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 45
- Imechapishwa: 26/12/2021
Swali 60: Ni ipi maana ya Hadiyth ya Umm ´Atwiyyah:
“Tumekatazwa kufuata jeneza?”[1]
Jibu: Malengo ya makatazo ni kukatazwa kulisindikiza makaburini. Ama kumswalia ni jambo limesuniwa kwa wanamme na wanawake. Wanawake walikuwa wakiswalia jeneza pamoja na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/178).
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 45
Imechapishwa: 26/12/2021
https://firqatunnajia.com/60-mwanamke-amekatazwa-kusindikiza-jeneza-makaburini/