218 – Ibn Kaasib ametuhadithia: ´Abdul-´Aziyz bin Muhammad na Ibn Abiy Haazim wametukhabarisha, kutoka kwa al-´Alaa’ bin ´Abdir-Rahmaan, kutoka kwa baba yake, kutoka kwa Abu Hurayrah, ambaye amesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Harakieni kufanya matendo kabla ya kipande cha usiku wenye giza. Mtu atafika asubuhi akiwa ni muumini na ikifika jioni tayari ameshakuwa kafiri, na anafika jioni akiwa ni muumini na ikifika asubuhi tayari ameshakuwa kafiri. Anaiuza dini yake kwa sababu ya dunia.”[1]
219 – Ahmad bin Muhammad bin Nayzak ametukhabarisha: Abu Ahmad ametukhabarisha: Israa’iyl ametukhabarisha, kutoka kwa Abu Yahyaa, kutoka kwa Mujaahid, kutoka kwa Ibn ´Abbaas, ambaye amesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Watu watauza dini yao kwa vitu vya kidunia.”[2]
[1] Muslim (186).
[2] at-Twabaraaniy katika “al-Awsatw” (5806). Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika “as-Swahiyhah” (1267).
- Muhusika: Imaam Abu Bakr Ahmad bin Abiy ´Aaswim ash-Shaybaaniy (a.f.k. 287)
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-uz-Zuhd, uk. 58
- Imechapishwa: 20/07/2025
218 – Ibn Kaasib ametuhadithia: ´Abdul-´Aziyz bin Muhammad na Ibn Abiy Haazim wametukhabarisha, kutoka kwa al-´Alaa’ bin ´Abdir-Rahmaan, kutoka kwa baba yake, kutoka kwa Abu Hurayrah, ambaye amesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Harakieni kufanya matendo kabla ya kipande cha usiku wenye giza. Mtu atafika asubuhi akiwa ni muumini na ikifika jioni tayari ameshakuwa kafiri, na anafika jioni akiwa ni muumini na ikifika asubuhi tayari ameshakuwa kafiri. Anaiuza dini yake kwa sababu ya dunia.”[1]
219 – Ahmad bin Muhammad bin Nayzak ametukhabarisha: Abu Ahmad ametukhabarisha: Israa’iyl ametukhabarisha, kutoka kwa Abu Yahyaa, kutoka kwa Mujaahid, kutoka kwa Ibn ´Abbaas, ambaye amesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Watu watauza dini yao kwa vitu vya kidunia.”[2]
[1] Muslim (186).
[2] at-Twabaraaniy katika “al-Awsatw” (5806). Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika “as-Swahiyhah” (1267).
Muhusika: Imaam Abu Bakr Ahmad bin Abiy ´Aaswim ash-Shaybaaniy (a.f.k. 287)
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-uz-Zuhd, uk. 58
Imechapishwa: 20/07/2025
https://firqatunnajia.com/57-kuiza-dunia-kwa-maslahi-ya-kidunia/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
