Swali 56: Ni bora kumswalia maiti msikitini au uwanjani[1]?
Jibu: Uwanjani ndio bora ikiwa kuna wepesi. Vilevile inafaa kumswalia msikitini kama ambavo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimswalia Ibn Baydhwaa´ msikitini. Hayo yamepokelewa na Muslim katika “as-Swahiyh” yake kupitia kwa ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa)[2].
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/164).
[2] Muslim (973).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 41
- Imechapishwa: 25/12/2021
Swali 56: Ni bora kumswalia maiti msikitini au uwanjani[1]?
Jibu: Uwanjani ndio bora ikiwa kuna wepesi. Vilevile inafaa kumswalia msikitini kama ambavo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimswalia Ibn Baydhwaa´ msikitini. Hayo yamepokelewa na Muslim katika “as-Swahiyh” yake kupitia kwa ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa)[2].
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/164).
[2] Muslim (973).
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 41
Imechapishwa: 25/12/2021
https://firqatunnajia.com/56-ni-bora-kumswalia-maiti-msikitini-au-uwanjani/