55. ´Aaishah hakutamani kumuua ´Uthmaan

52 – ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) amesema:

”Naapa kwa Allaah nachelea endapo ningelitamani kumuua basi ningeuliwa. Lakini anajua, kutokea juu ya ´Arshi Yake, ya kwamba mimi sikutamani kumuua.”[1]

Bi maana ´Uthmaan.

[1] ar-Radd ´alaal-Jahmiyyah, uk. 27, ya ad-Daarimiy.

  • Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Mukhtasar-ul-´Uluww, uk. 104
  • Imechapishwa: 24/06/2024
  • taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy