52 – ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) amesema:
”Naapa kwa Allaah nachelea endapo ningelitamani kumuua basi ningeuliwa. Lakini anajua, kutokea juu ya ´Arshi Yake, ya kwamba mimi sikutamani kumuua.”[1]
Bi maana ´Uthmaan.
[1] ar-Radd ´alaal-Jahmiyyah, uk. 27, ya ad-Daarimiy.
- Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Mukhtasar-ul-´Uluww, uk. 104
- Imechapishwa: 24/06/2024
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
52 – ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) amesema:
”Naapa kwa Allaah nachelea endapo ningelitamani kumuua basi ningeuliwa. Lakini anajua, kutokea juu ya ´Arshi Yake, ya kwamba mimi sikutamani kumuua.”[1]
Bi maana ´Uthmaan.
[1] ar-Radd ´alaal-Jahmiyyah, uk. 27, ya ad-Daarimiy.
Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Mukhtasar-ul-´Uluww, uk. 104
Imechapishwa: 24/06/2024
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/55-aaishah-hakutamani-kumuua-uthmaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)