138 – ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaaa) amesimulia: “Wakati mtu anapomlalamikia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) juu ya jambo fulani, kidonda au akawa na jeraha, basi Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hufanya kwa kidole chake namna hii – Sufyaan akaweka kidole chake cha shahaadah ardhini – kisha akakinyanyua na kusema:
بِاسْمِ اللَّهِ، تُرْبَةُ أَرْضِنَا بِرِيقَةِ بَعْضِنَا ، لِيُشْفَى بِهِ سَقِيمُنَا بِإِذْنِ رَبِّنَا
“Kwa jina la Allaah, mchanga ya ardhi yetu na kwa mate ya baadhi yetu, yanaponyesha mgonjwa wetu, kwa idhini ya Mola wetu.”[1]
Ameipokea al-Bukhaariy na Muslim.
MAELEZO
Katika Hadiyth hii kuna uwekwaji Shari´ah wa kitendo hichi, nacho ni kuchukua mate kidogo kwa kidole chake cha shahaadah kisha akakiweka kwenye mchanga. Inahusiana na mchanga wowote ikiwa ni msafi. Baada ya hapo atakiweka mahali anapohisi maumivu hali ya kuwa ni mwenye kusema wakati wa kupangusa:
بِاسْمِ اللَّهِ، تُرْبَةُ أَرْضِنَا بِرِيقَةِ بَعْضِنَا ، لِيُشْفَى بِهِ سَقِيمُنَا بِإِذْنِ رَبِّنَا
“Kwa jina la Allaah, mchanga ya ardhi yetu na kwa mate ya baadhi yetu, yanaponyesha mgonjwa wetu, kwa idhini ya Mola wetu.”
Kama ilivyopokelewa katika Hadiyth.
[1] al-Bukhaariy (5745) na Muslim (2194).
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Ad´iyah wal-Adhkaar, uk. 133
- Imechapishwa: 12/11/2025
138 – ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaaa) amesimulia: “Wakati mtu anapomlalamikia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) juu ya jambo fulani, kidonda au akawa na jeraha, basi Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hufanya kwa kidole chake namna hii – Sufyaan akaweka kidole chake cha shahaadah ardhini – kisha akakinyanyua na kusema:
بِاسْمِ اللَّهِ، تُرْبَةُ أَرْضِنَا بِرِيقَةِ بَعْضِنَا ، لِيُشْفَى بِهِ سَقِيمُنَا بِإِذْنِ رَبِّنَا
“Kwa jina la Allaah, mchanga ya ardhi yetu na kwa mate ya baadhi yetu, yanaponyesha mgonjwa wetu, kwa idhini ya Mola wetu.”[1]
Ameipokea al-Bukhaariy na Muslim.
MAELEZO
Katika Hadiyth hii kuna uwekwaji Shari´ah wa kitendo hichi, nacho ni kuchukua mate kidogo kwa kidole chake cha shahaadah kisha akakiweka kwenye mchanga. Inahusiana na mchanga wowote ikiwa ni msafi. Baada ya hapo atakiweka mahali anapohisi maumivu hali ya kuwa ni mwenye kusema wakati wa kupangusa:
بِاسْمِ اللَّهِ، تُرْبَةُ أَرْضِنَا بِرِيقَةِ بَعْضِنَا ، لِيُشْفَى بِهِ سَقِيمُنَا بِإِذْنِ رَبِّنَا
“Kwa jina la Allaah, mchanga ya ardhi yetu na kwa mate ya baadhi yetu, yanaponyesha mgonjwa wetu, kwa idhini ya Mola wetu.”
Kama ilivyopokelewa katika Hadiyth.
[1] al-Bukhaariy (5745) na Muslim (2194).
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Ad´iyah wal-Adhkaar, uk. 133
Imechapishwa: 12/11/2025
https://firqatunnajia.com/54-duaa-wakati-wa-kuhisi-maumivu-maeneo-fulani-mwilini-ii/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
