Swali 53: Kuna mtu Ramadhaan imeingia na akaja kupata khabari mida ya asubuhi. Ni lipi linalomlazimu?
Jibu: Baada ya kupata khabari kuwa ni Ramadhaan ni wajibu kwake kujizuia na kula na kunywa na kuilipa siku hiyo.
- Muhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaas-Swiyaam, uk. 70-71
- Imechapishwa: 13/06/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)