Swali 53: Kuna mtu Ramadhaan imeingia na akaja kupata khabari mida ya asubuhi. Ni lipi linalomlazimu?
Jibu: Baada ya kupata khabari kuwa ni Ramadhaan ni wajibu kwake kujizuia na kula na kunywa na kuilipa siku hiyo.
- Muhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaas-Swiyaam, uk. 70-71
- Imechapishwa: 13/06/2017
Swali 53: Kuna mtu Ramadhaan imeingia na akaja kupata khabari mida ya asubuhi. Ni lipi linalomlazimu?
Jibu: Baada ya kupata khabari kuwa ni Ramadhaan ni wajibu kwake kujizuia na kula na kunywa na kuilipa siku hiyo.
Muhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaas-Swiyaam, uk. 70-71
Imechapishwa: 13/06/2017
https://firqatunnajia.com/53-ni-lipi-linalomlazimu-mtu-aliyepata-khabari-kuingia-kwa-ramadhaan-mida-ya-asubuhi/