Swali 52: Ni ipi hukumu ya mwenye kula na kunywa katika mchana wa Ramadhaan ilihali yuko na afya njema? Ni lipi linalomlazimu?
Jibu: Haijuzu kwa mtu kula na kunywa katika mchana wa Ramadhaan ilihali yuko na afya njema. Ni wajibu kwake kujizuia na kula na kunywa na ni wajibu kwake kulipa siku hiyo.
- Muhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaas-Swiyaam, uk. 70
- Imechapishwa: 13/06/2017
Swali 52: Ni ipi hukumu ya mwenye kula na kunywa katika mchana wa Ramadhaan ilihali yuko na afya njema? Ni lipi linalomlazimu?
Jibu: Haijuzu kwa mtu kula na kunywa katika mchana wa Ramadhaan ilihali yuko na afya njema. Ni wajibu kwake kujizuia na kula na kunywa na ni wajibu kwake kulipa siku hiyo.
Muhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaas-Swiyaam, uk. 70
Imechapishwa: 13/06/2017
https://firqatunnajia.com/52-ni-ipi-hukumu-ya-anayekula-na-kunywa-kwa-kukusudia-mchana-wa-ramadhaan/