Swali 52: Ni ipi hukumu ya mwenye kula na kunywa katika mchana wa Ramadhaan ilihali yuko na afya njema? Ni lipi linalomlazimu?
Jibu: Haijuzu kwa mtu kula na kunywa katika mchana wa Ramadhaan ilihali yuko na afya njema. Ni wajibu kwake kujizuia na kula na kunywa na ni wajibu kwake kulipa siku hiyo.
- Muhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaas-Swiyaam, uk. 70
- Imechapishwa: 13/06/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket