208 – Abu Mas´uud ametuhadithia: Ayyuub bin Khaalid ametukhabarisha, kutoka kwa al-Awzaa´iy, kutoka kwa Ismaa´iyl bin ´Ubaydillaah, kutoka kwa Anas, ambaye amesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Mimi si kutokamani na dunia na dunia haitokamani nami.”[1]
[1] Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika “Swahiyh-ul-Jaamiy´” (5080).
- Muhusika: Imaam Abu Bakr Ahmad bin Abiy ´Aaswim ash-Shaybaaniy (a.f.k. 287)
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-uz-Zuhd, uk. 54
- Imechapishwa: 16/07/2025
208 – Abu Mas´uud ametuhadithia: Ayyuub bin Khaalid ametukhabarisha, kutoka kwa al-Awzaa´iy, kutoka kwa Ismaa´iyl bin ´Ubaydillaah, kutoka kwa Anas, ambaye amesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Mimi si kutokamani na dunia na dunia haitokamani nami.”[1]
[1] Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika “Swahiyh-ul-Jaamiy´” (5080).
Muhusika: Imaam Abu Bakr Ahmad bin Abiy ´Aaswim ash-Shaybaaniy (a.f.k. 287)
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-uz-Zuhd, uk. 54
Imechapishwa: 16/07/2025
https://firqatunnajia.com/52-mtume-alivyojitenga-na-maisha-ya-dunia/