Swali 51: Ni ipi hukumu ya kulala katika hali ya janaba na kukaadhiniwa kwa ajili ya swalah ya Fajr ilihali mtu yuko katika hali hiyo hiyo?
Jibu: Swawm yake ni sahihi na ni wajibu kwake kuoga.
- Muhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaas-Swiyaam, uk. 69
- Imechapishwa: 13/06/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)